Aaah! Bwana kazidisha

Fay Mastories

Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
49
Reaction score
3
Daah!! Arovera mme wangu jitahidi basi hata ununue ka~vits mkeo napata shida hapa ila mmmh, yaani hapa nimepanda daladala ya gongo la mboto leo kuna sehemu watu wanaamsha popo nilikerwa kazini mchana naenda kupooza huko na dompo.

Ila hii nyomi ya watu humu kwenye uda ni balaa..,ukichanganya na perfurm ya vikwapa hatari, sasa kuna mzee kidogo wa makamo kasimama nyuma yangu watu wamegoma kumpisha akae.

Mda mrefu namsikia anapapasa tu! mwanzoni alikuwa anagusa natoa now hadi anadandia nashindwa kumwambia heshima jamani! huu ustarabu wa hivi jamani mipapaso mingine ni shida.

Nikigeuka anatoa mikono nikipoteza hadi anayavutia kwake.
 
kimenuka!!.Mom Fay + Fay Mastoriez.... Nduki!!....Acha nimsikilizie tu hapa maana!!.
 

Kilaza rudi bbm na post zako za kipuuzi!
 
Last edited by a moderator:
Daah! mama Arovera vumilia tu mke wangu! si unaona hali yetu kiuchumi ilivyo mbaya!
 
shida yako vitz tu, achana na alovera we njoo kwangu mtoto wa kike hatakiwi kupata shida ati!...lakini huko alipolegeza alovera mi sigusi asee nitaingilia mlango wa uwani, au na wenyewe ulishafunguliwa tayari?
 
Daah! mama Arovera vumilia tu mke wangu! si unaona hali yetu kiuchumi ilivyo mbaya!

dah baba watoto ivo ntabambiwa hivi mpaka lini...ah mi kazi naacha bora nipike vitumbua mbona mama kurwa anapika maandaz pale jirani na hapati shida!
 
shida yako vitz tu, achana na alovera we njoo kwangu mtoto wa kike hatakiwi kupata shida ati!...lakini huko alipolegeza alovera mi sigusi asee nitaingilia mlango wa uwani, au na wenyewe ulishafunguliwa tayari?

dah! sina bahati,kumeshazibuliwa kitambo sanaaa....saizi ni hole
 
Shule kwanza.Nikutake mimi nakujua wewe?Elimu darasa la 7..Jaribu kusoma nyakati

aah!. mchumba!!. we siku zote nakufung'unyua unalia ovyo leo unanuna jukwaani?!,eeh majanga!.

wewe mie mwehu ukinifatiza utapata presha za bure,kwanza nshavurugwa
 
Pole sana Mke wangu, usijali Utaendesha tu ili kuepukana na adha hizo, mizee mingine mipuuzi kweli kwa hiyo linajua urembo huo umejileta bila kugharamiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…