Fay Mastories
Member
- Jun 20, 2014
- 49
- 3
Daah!! Arovera mme wangu jitahidi basi hata ununue ka~vits mkeo napata shida hapa ila mmmh, yaani hapa nimepanda daladala ya gongo la mboto leo kuna sehemu watu wanaamsha popo nilikerwa kazini mchana naenda kupooza huko na dompo.
Ila hii nyomi ya watu humu kwenye uda ni balaa..,ukichanganya na perfurm ya vikwapa hatari, sasa kuna mzee kidogo wa makamo kasimama nyuma yangu watu wamegoma kumpisha akae.
Mda mrefu namsikia anapapasa tu! mwanzoni alikuwa anagusa natoa now hadi anadandia nashindwa kumwambia heshima jamani! huu ustarabu wa hivi jamani mipapaso mingine ni shida.
Nikigeuka anatoa mikono nikipoteza hadi anayavutia kwake.
Ila hii nyomi ya watu humu kwenye uda ni balaa..,ukichanganya na perfurm ya vikwapa hatari, sasa kuna mzee kidogo wa makamo kasimama nyuma yangu watu wamegoma kumpisha akae.
Mda mrefu namsikia anapapasa tu! mwanzoni alikuwa anagusa natoa now hadi anadandia nashindwa kumwambia heshima jamani! huu ustarabu wa hivi jamani mipapaso mingine ni shida.
Nikigeuka anatoa mikono nikipoteza hadi anayavutia kwake.