A woman to marry is needed

Sure haya safari njema
 
Huo wakati umefika tayari. Hili neno huwa linafikirisha sana.
 
Umeona nini mkuu?, usione sana ya wengine, tabia ya mtu mmoja ni tofauti na mtu mwingine, na kabila la mtu halimaanishi atakua na tabia hizo sana, oa mnyakyusa hutojutia [emoji3][emoji2088]
Wanyaki HAPANA wanaongea sana na wana masauti makubwaa kama wanaimba kwaya bila maiki😄😄😄
 
Wanawake wa Tukuyu wana maziwa makubwa matako kama piriton😌😇😇😇 wa Kyela ndio matata rangi kama wanyaturu shepu kama wamachame, miguu kama wagogo 🥰
Haa unatutukana mkuu, ningekuonyesha shepu za kinyaki kukuprove wrong ila basi tuache tu, sawa oeni hao wengine ila mtatukumbuka tabia njema zetu😀😀
 
The topic is in English I wonder why almost all people respond in Kiswahili. Truly, English is a disaster in Tz 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…