Mjomba kwa unatakiwa kujua kuwa si hakuna mtu anayejua kila kitu!
Unapoleta tangazo kama hili unategemea nini; kwa kifupi Tangazo lako halijitoshelezi kabisa, si kweli kama unavyofikiri kuwa hivyo vifupisho kila mtu anavijua!
Jifunze ku-socialize mambo!
Unasema zipo 3 bei 450,000 kwani lazima zinunuliwe zote kwa pamoja kama nataka moja kwenye hzo 3? Naomba mwongozo!