Gele vaheke Senior Member Joined Mar 22, 2012 Posts 138 Reaction score 6 Apr 20, 2012 #1 Jamani na pesa yangu ya chumvi mwenye nayo simu ofa ni kwa watu watu wa dar na kilombero
A ammah JF-Expert Member Joined Oct 2, 2010 Posts 222 Reaction score 70 Apr 20, 2012 #2 htc pure unlocked....for more info send pm
Gele vaheke Senior Member Joined Mar 22, 2012 Posts 138 Reaction score 6 Apr 20, 2012 Thread starter #3 ammah said: htc pure unlocked....for more info send pm Click to expand... htc ipi
vanmedy JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 2,704 Reaction score 1,409 Apr 20, 2012 #4 ammah said: htc pure unlocked....for more info send pm Click to expand... taja full specs za hiyo htc mkuu... or atleast brand number tuigoogle......
ammah said: htc pure unlocked....for more info send pm Click to expand... taja full specs za hiyo htc mkuu... or atleast brand number tuigoogle......
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,103 Apr 20, 2012 #5 Mchina hizo
A ammah JF-Expert Member Joined Oct 2, 2010 Posts 222 Reaction score 70 Apr 20, 2012 #6 ni htc pure st6356. HTC Pure - Full phone specifications link hio hapo unaweza kuicheki.
Erickb52 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 18,554 Reaction score 11,486 Apr 20, 2012 #7 Hapo mchina anahusika
Gele vaheke Senior Member Joined Mar 22, 2012 Posts 138 Reaction score 6 Apr 20, 2012 Thread starter #8 ammah said: htc pure unlocked....for more info send pm Click to expand... uko wapi mkuu ?
E emkey JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 728 Reaction score 137 Apr 22, 2012 #9 Gele vaheke said: Jamani na pesa yangu ya chumvi mwenye nayo simu ofa ni kwa watu watu wa dar na kilombero Click to expand... Njoo nikupe samsung gt-s5233a ya ukweli mkuu, haina dosari yoyote ile full unlocked. chaji siku tatu hadi nne. nitafute 0714-408238 / 0759-401230.
Gele vaheke said: Jamani na pesa yangu ya chumvi mwenye nayo simu ofa ni kwa watu watu wa dar na kilombero Click to expand... Njoo nikupe samsung gt-s5233a ya ukweli mkuu, haina dosari yoyote ile full unlocked. chaji siku tatu hadi nne. nitafute 0714-408238 / 0759-401230.
Gele vaheke Senior Member Joined Mar 22, 2012 Posts 138 Reaction score 6 Apr 22, 2012 Thread starter #10 emkey said: Njoo nikupe samsung gt-s5233a ya ukweli mkuu, haina dosari yoyote ile full unlocked. chaji siku tatu hadi nne. nitafute 0714-408238 / 0759-401230. Click to expand... uko pande zipi mkuu
emkey said: Njoo nikupe samsung gt-s5233a ya ukweli mkuu, haina dosari yoyote ile full unlocked. chaji siku tatu hadi nne. nitafute 0714-408238 / 0759-401230. Click to expand... uko pande zipi mkuu
E emkey JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 728 Reaction score 137 Apr 23, 2012 #11 Gele vaheke said: uko pande zipi mkuu Click to expand... Nipo mahenge, ila kama upo fresh tunaweza kupanga jinsi ya kufanya biashara. nitwangie tupange.
Gele vaheke said: uko pande zipi mkuu Click to expand... Nipo mahenge, ila kama upo fresh tunaweza kupanga jinsi ya kufanya biashara. nitwangie tupange.
Gele vaheke Senior Member Joined Mar 22, 2012 Posts 138 Reaction score 6 Apr 24, 2012 Thread starter #12 Una weza ukaituma hiyo simu ifakara ili niichukulie ifakara mimi nipo mlimba 0785100151