Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka,chuma cha reli ,shujaa wa Afrika na jasiri muongoza njia Ametua na kuingia ndani ya jiji la Arusha Kwa Ajili ya Ziara ya Siku mbili.
Ikumbukwe Ya kuwa Arusha ni Mkoa wa kimkakati katika suala...