zawadi za eid

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PreGE2025 Shinyanga: Rais Samia atoa zawadi za Eid kwa wazee na watoto

    Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi za vitu mbalimbali kwa watoto na wazee wanaolelewwa kwenye vituo saba vilivyopo mkoani Shinyanga ili nao washerehekee Sikukuu ya Eid el Fitr kwa furaha. Zawadi hizo zimekabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha kwa niaba ya Rais Samia Suluhu...
  2. Fred Vunja Bei agawa pisi za nguo 10,000 kama "mkono wa Eid"

    Wakuu, Kwa wanaomfatilia Fred Vunja Bei alishawahi kusema kuwa ana "interest" za kugombea Ubunge, jimbo analotaka kugombea hakutaja na hata kwenye mkutano mkuu wa CCM pia alikuwepo Leo katoa pisi 10,000 za nguo kama msaada na zawadi katika sikukuu ya Eid
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…