zawadi kwenye uchumba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msiogope kudai zawadi mlizopeana wakati wa uchumba, penzi likiwa la moto. Sheria ipo na inafanya kazi

    Wakuu msiogope kudai zawadi zenu mnazopeana wakati wa uchumba/penzi likiwa moto kwa ahadi ya ndoa ikiwa mahusiano hayo yatavunjika. Sheria ipo na inaifanya kazi. Ukweli ulivyo Sheria ya Tanzania inatambua kuwa unapoingia kwenye uchumba, unakuwa umetoa ahadi ya kisheria ya kuja kufunga ndoa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…