Imeelezwa kuwa Shule ya Sekondari Nyang’hwale iliyopo wilayani humo inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo Uchakavu wa Majengo , Upungufu wa walimu pamoja na Upungufu wa vifaa vya kutumia ikiwemo Photocopy Machine pamoja na Kompyuta.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa shule ya Sekondari...