Jana tarehe 17 Februari 2026, Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Tabora kupitia kesi ya Amina Mwaluko dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ilibatilisha utaratibu wa baadhi ya watu wakiwemo maafisa wa mahakama, na maafisa sheria wa sekta za umma kupewa uwakili bila kuhitimu Astashahada katika...