Klabu ya Young Africans ya Tanzania imetangaza kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz.
Katika taarifa yake ya leo Oktoba 18, 2025, mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya NBC, wametangaza kuachana na Folz huku nafasi yake ikichukuliwa na kocha msaidizi Patrick Mabedi...