Siku kadhaa zilizopita kulitokea sintofahamu baada ya chama la Yanga kuchangia kwenye harambee ya CCM Tsh milion 100 ni mengi sana yaliibuka na yanaendelea kuibuka.
Kuna wale wanaoichukia Yanga kuanzia utoto wao, kuna wachambuzi uchwara, kuna mashabiki wa Simba na wao pia wamepata pa kutolea...
WEWE KAMA HUITAKI CCM HAMA TIMU HARAKA
Huwezi kufurahia matunada matamu ya mti ila ukauchukia mti unaozalisha matunda hayo.
Sisi kama YANGA tuna historia yetu wewe ukijiona tu unaumia YANGA kuichangia CCM basi ujuwe wewe ulipaswa Kushabikia upande mwengine .
Tutaendelea kuichangia CCM kwa...