yaburuza mkia kundi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Simba Sc yaburuza mkia kwenye kundi D, michuano ya CAF Champions league

    Mpaka sasa klabu ya Petro de Luanda kutokea nchini Angola ndiyo inayoongoza kwenye msimamo wa Kundi D, michuano ya CAF Champions League hatua ya makundi mara baada ya kuitandika Simba SC chuma moja kwa sifuri katika dimba la Benjamin William Mkapa, Jijini Dar es Salaam.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…