Mgombea wa nafasi ya Ubunge kwenye Jimbo la Butiama Mkoani Mara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Wilson Mahera amesema Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza ndoto na maono ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa kujenga Chuo cha Kilimo Butiama Mkoani Mara ambapo takribani...