william lukuvi afariki dunia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amesema kuwa marehemu William Lukuvi alikuwa na moyo wa kujituma na kujitoa kikamilifu katika kazi, akibainisha kuwa hadi jana alikuwa ofisini licha ya kujisikia vibaya na kwenda hospitali kisha kurejea kazini kuendelea na majukumu yake. Soma Pia: Waziri...
  2. Kitu kikubwa ambacho wananchi wa Ismani watapoteza baada ya kifo cha ghafla cha Lukuvi ni Ulanzi wa Bure

    Wakati wa Kampeni zozote za Uchaguzi, kwenye Jimbo la Isman, Mh Lukuvi alikuwa analipa vilabu vyote vya Ulanzi vya Jimbo hilo ili wananchi wanywe bure kwa miezi mitatu mfululizo Hili lilikuwa jambo la Wazi kabisa bila kificho, huku Lukuvi mwenyewe akieleza kwamba kwa mila za kwao si kosa kugawa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…