Mimi nashindwa kabisa kuwaelewa wanawake kipi wanakitaka hasa katika haya maisha
Ukijaribu kumuambia ukweli unampoteza yaani anakuacha.
Ukimdanganya anasema apendi wanaume waongo
Kipi kwenu sahihi mnapenda kusikia au mnataka tufake?
Sisi wanaume wengi mioyo yetu myepesi sana yaani raisi...