Serikali ya Zimbabwe imethibitisha kuwa raia 15 wamefariki dunia baada ya kudanganywa na kuingizwa kwenye mapigano ya vita kati ya Urusi na Ukraine, huku wengine 66 wakiendelea kushiriki katika vita hivyo.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Habari, Zhemu Soda, alisema waathirika...