Mgombea mwenza wa Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Wana-CCM na Wakazi wa ilala wametangaza kuwa siku ya uchaguzi Oktoba 29 ni samia Day
Nchimbi amesema hayo Leo Oktoba 1, 2025 akiwa katika mkutano wa kampeni maeneo ya Machinga Complex jimbo la...