Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa Shirika la Chakula na Kilimo (NAFCO) limetoa hekari 3,000 kutoka katika mashamba yake kwa ajili ya Wakulima wa Namtumbo mkoani Ruvuma ili kuendeleza shughuli...