Kuna taarifa zinasambaa kuwa huko Nigeria kumedondoshwa mabomu kuwapa ujumbe hao wenye misimamo ya kidini nchini humo wanbaosababisha vurugu na mateso kwa waNigeria wengine wasiokubaliana na misimamo yao.
Chonde chonde, maana inaonyesha Tanzania nako kumeanza kuwepo na viashiria vya msimamo...