wakili mahinyila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 TLS yacharuka juu ya vitendo vya udhalilishaji wa mawakili (Tukio la Kupigwa kwa Wakili Mahinyila)

    Wanajamvi kwema? Nadhani wote tunakumbuka tarehe 15/09/2025, taifa lilishuhudia kadhia ya aibu katika Mahakama Kuu DSM. Wanachama wa CHADEMA walipigwa na kudhalilishwa na jeshi la polisi ila mbali na hayo pia Wakili Deogratius Mahinyila (ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Vijana), akiwa kazini...
  2. Wakili Mahinyila: Nilihojiwa kwa kufanya fujo mahakamani, "hiki ni kituko"

    Huyu bwana mdogo alifanyiwa fujo sana, halafu ni moja ya wakili na hakuwa pale mahakamani kwa bahati mbaya! Tunasafari ndefu sana ya kufika tunapopataka kama nchi ============== Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Wakili Deogratias Mahinyila akiwaleza wanahabari kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…