Baadhi ya wajumbe wa kupiga kura za maoni Jimbo la Mfenesini wamezuiwa kuingia ndani ya ukumbi kwa kile kilichoelezwa hawakuvaa sare za chama kama walivyoelekezwa
Wajumbe wa jimbo hilo wameanza kuingia ndani saa 3:00 asubuhi kwa ajili ya matayarisho ya upigaji kura za maoni kwa wabunge...