wahandisi wa halmashauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Wahandisi wa Halmashauri tunaonewa

    Wahandisi Ujenzi (Civil Engineers) waliopo Halmashauri zetu wanapitia wakati Mgumu sana. Unakuta anasimamia miradi maelekezo anayopokea kutoka kwa Mkurugenzi (DED) na Mkuu wa Wilaya yanakuwa kinyume na utaalamu, unaweza ukaambiwa upige plaster leo na upake rangi leoleo, ukishindwa kufanya hivyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…