Wananchi wa kabila la Wahadzabe, jamii ya asili yenye historia ya kipekee, wameonekana katika viwanja vya Madani wilayani Karatu mkoa wa Arusha wakiwa wamevalia sare za CCM na kuimba nyimbo za asili.
Hivi hawa, serikali ya CCM haijauza ardhi yao kweli kwa waarabu?
--
Sema CCM wakorogaji...