waandamanaji tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nani kawapa hao waumini wa "Wakatoliki" kibali cha kuandamana? Polisi kwanini hatujawaona wakiwa na risasi?

    Wakuu, Nina maswali machache. Tushazoea utaratibu wa taifa hili waandamanaji wanapigwa risasi kwanini hawa imekuwa tofauti? Hao Wakatoliki walioandamana, kibali cha kuandamana walitoa wapi ? Je wangeanzisha vurugu na "kuhatarisha" usalama wa raia wema na mali zao? Na kwanini hatujaona...
  2. U

    UN yaitaka Serikali ya Tanzania kuwalinda waandamanaji katika maandamano yaliyopangwa tarehe 9/12 na kuendelea

    #BREAKING: UN CALLS FOR LIFTING OF PROTEST BAN IN TANZANIA AHEAD OF DECEMBER 9 The Tanzanian government has been urged to uphold fundamental freedoms ahead of planned Independence Day protests on 9 December. Spokesperson Seif Magango of the UN High Commissioner for Human Rights reminded...
  3. PostGE2025 GHANA yasikitishwa na mauaji ya Watanzania yalitokea Oktoba 29. Yasisitiza ufanyike uchunguzi huru na wazi

    HALI YA KISIASA NA HAKI ZA BINADAMU BAADA YA UCHAGUZI TANZANIA Ghana imeona kwa wasiwasi mkubwa hali ya kisiasa na haki za binadamu inayoendelea kwa kasi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025. Mazingira ya baada...
  4. GE2025 Video: "Hizo risasi hizo" Wananchi wakienda kumzika mwenzao aliyepigwa risasi na Polisi

    Mazishi ya Mwananchi aliyeuawa kikatili kwa kupigwa risasi na polisi yamegeuka kuwa maandamano ya sauti na hisia. Wananchi waimba “Hizo risasi hizo” wakieleza uchungu, hasira, na wito wa uwajibikaji kwa mamlaka.
  5. GE2025 Baadhi ya wananchi wakiwapelekea Polisi maiti ya waandamanaji waliopigwa risasi

    Baadhi ya wananchi wakiwapelekea Polisi maiti ya waandamanaji waliopigwa risasi wakati wa maandamano yaliyokuwa yakiendelea huku wakisema mmeua chukuweni.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…