Wakuu,
Nina maswali machache.
Tushazoea utaratibu wa taifa hili waandamanaji wanapigwa risasi kwanini hawa imekuwa tofauti?
Hao Wakatoliki walioandamana, kibali cha kuandamana walitoa wapi ?
Je wangeanzisha vurugu na "kuhatarisha" usalama wa raia wema na mali zao?
Na kwanini hatujaona...