Leo nimekutana na baadhi ya vitu vya mafuta barabara ya Bagamoyo vipo wazi kwa vile tu ambavyo havikupata madhara, lakini hata bei ya mafuta imendelea kusalia ileile ilikuwepo awali kabla ya maandamano!
================
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Rc Chalamila amezungumza na waandishi wa...