vita vya kibiashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vita vya kibiashara ni haramu katika Uislamu

    Rasi Donald Trump wa Marekani anajaribu kadri iwezekanavyo bidhaa kutoka nje ziwe ghali kiasi kwamba wananchi wake wasizipate kwa urahisi ijapokuwa kwake hazipo.Na kinyume chake. Mu'az amesimulia: Nimemsikia Mtume wa Allah akisema" Mbaya ni yule anayelundika bidhaa na kuifanya iwe adimu...
  2. Kushindwa mapema kwa vita vya kibiashara vya Trump ni ujumbe tosha kuonesha hata vita vya silaha dhidi ya Hamas na watetezi wake havitawezekana

    Siku moja tu tangu vita vya kibiashara kwa dunia nzima vianze rasmi raisi Donald Trump ameinua mikono na kutoa matamshi ya kurudi nyuma na kufedheheka. Vita hivyo vimesambaraka mapema kwa vile vimehusisha maslahi ya mataifa mengi ambayo yamekereka kwa kulazimishwa kuingia uwanjani huku machache...
  3. Katika vita vya kibiashara hivi Trump anakusudia kupata nini ?

    Nimejaribu kujiunga na mtandao binafsi wa Trump wa Truth Social na sijafanikiwa. Nilitaka nimuulize baadhi ya maswali anijibu na akishindwa nimpe elimu kidogo. Swali langu ni hilo hapo juu. Nilichotaka kumwambia Trump ana kwa ana ni kuwa anapigana na vita ambavyo atashindwa mchana kweupe...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…