Viongozi wa dini wametakiwa kuendelea kuelimisha na kusisitiza umuhimu wa kutumia mitandao ya kijamii hasa kwa vijana ili kuhakikisha inatumiwa katika maslahi ya maendeleo ya Taifa.
Kauli hiyo imetolewa na Msemaji wa jeshi la Polisi David Misime wakati wa Mkutano Mkuu wa 54 wa Jumuiya ya...