Mgombea wa Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa akipata ridhaa ya kupewa Miaka Mitano zaidi atahakikisha anajenga uwanja wa Ndege wa Kimataifa katika visiwa vya Pemba ili kufungua zaidi kisiwa hicho kiuchumi na kuongeza watalii ambapo uwanja huo utaruhusu ndege kubwa kabisa kutua katika...