Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Chato Mkoani Geita, wametoa Msimamo wao na kuvionya baadhi ya Vyama vya Siasa ambavyo vimekuwa vikipanga njama za kufanya vurugu kwa kuwatumia vijana katika kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, kuacha mara moja kwani watasimama katika kuhakikisha...