Wakuu,
Inasemekana hapo ni Moshi majira ya saa 19:35 maeneo ya Mbuyuni sokoni ambapo watekaji walikuja na Noah nyeusi wakamkamata kijana mmoja wakataka kuondoka naye ila wananchi waliwagomea!
Wakatoa pingu huku wamevaa kiraia hapo ndio raia raia wakazua balaa kabisa.
Maswali ni yale yale...