Shirika la kimataifa la haki za binadamu, Amnesty International, limeishutumu vikali serikali ya Uganda kwa kuendesha kile ilichokiita kampeni ya ukandamizaji wa kisiasa dhidi ya upinzani, siku chache kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Januari 15.
Amnesty imesema kuwa vikosi vya...