Utajiri na umasikini vyote vinaanzia kwenye mawazo. Matajiri huamini kwenye wingi. Na masikini huamini kwenye uhaba.
Kuna madaraja matatu hadi manne ya viwango vya pesa na mali.
Kuna daraja la kwanza ambalo lina watu wengi. Hawa huamka asubuhi kwenda kazini, kwenye ajira, kujiajiri nk.
Kundi...