Musa (Mgongo)
Kristo (kioo)
Mbinguni (Dhahiri)
Ilikuwa ni shauku ya Musa kutaka Kuuona uso wa Mungu baada ya muda mrefu kukaa bila kumwona Mungu..
Lakini tukirudi kwenye maandiko yanasema, Mungu alizungumza na Musa uso kwa uso kama mtu anavyozungumza na rafiki yake.
Kutoka 33:11 Naye Bwana...