Msije sema ni gharama kubwa maana Haki, ukweli na uwazi una gharama zake pia.
Je ni haki kwa wezi wa kura/vibaka wa kuiba kura nao pia watendewe kama vibaka wengine wa mitaani?
Twende Kazi.
I. Utangulizi
Upigaji kura kwa kutumia makaratasi ni mfumo wa zamani ambao umetumika kwa miongo kadhaa...