unga wa sembe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Nahitaji mshirika wa biashara ya usindikaji unga wa sembe

    Habari Zenu Jina langu ni Juma Jumanne, KIJANA Mfanyabiashara wa Mazao SINGIDA Nilianzisha Kampuni Yangu (LYANGA FLOUR MILLERS) ya kusindika unga lishe, Sembe na Dona, lakini Biashara ilisimama kwa sababu sikua na Mashine yangu Binafsi na sababu zilizo nje Ya Uwezo Wangu Kwa sasa nina KIWANJA...
  2. A

    Nahitaji mashine ya kusaga na kukoboa unga wa sembe

    Nahitaji mashine ya kusaga na KUKOBOA UNGA WA SEMBE , mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
  3. E

    Ushauri: Nataka kuanzisha kiwanda cha unga wa sembe Dar

    Habari Mimi ni kijana mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda cha kuzalisha Unga (sembe +dona) Dar. Nilikuwa naomba wazoefu kwenye hii biashara wanipe muongozo kwenye haya. 1. Mashine zipi ni bora ( kusaga, kukoboa na sealing) na ufanis wake ukoje 2. Mahindi ya mkoa gani ni mazuri? Na huwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…