WOW. Mara tu mwili wa Ran Gvili ulipopatikana na ulipotambuliwa, wanajeshi wa Israeli walianza kuimba:
"Ninaamini katika kuja kwa Masihi!"
Sasa kazi tu imebaki ni kubonda magaidi wa Hamas na kuwapokonya silaha zao
Rais wa Israeli Isaac Herzog: naye leo hii kasema;
Ran Gvili, shujaa wetu...