Uhaini ni kitendo cha mtu mmoja au kundi la watu:
1. Kusababisha madhara makubwa kwa taifa, kwa mfano: kushirikiana na adui wakati wa vita.
2. Kujaribu kuipindua serikali iliyoko madarakani, iwe kwa njia ya mapinduzi ya kijeshi au ya kisiasa.
3. Kuhatarisha usalama wa taifa, kwa mfano...