Hizi tuzo za wachekeshaji mwaka jana zilifanyika Februari 14 siku ya Valentine wakamualika hadi Rais kama mgeni rasmi
Mwaka huu nimepita kwenye instagram yao sijaona update yoyote.Tukiwaambia hawa wasanii kuwa huwa wanatumika na CCM kipindi cha Uchaguzi huwa wanakasirika, haya kiko wapi?
Soma...