TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Magereza Tanzania linapenda kuujulisha umma kuwa, zipo taratibu za mawasiliano kwa wale wote waliopo gerezani kwa mujibu wa sheria ambazo hupaswa kusimamiwa na kuthibitishwa iwapo maudhui ya mawasiliano hayo hayakiuki taratibu zilizopo wala kuathiri suala zima la...