*Amebainisha kuwa matokeo ya mwaka huu yanaonesha wazi dhamira ya wananchi ya kusonga mbele kwa umoja na maendeleo.
Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekabidhiwa rasmi Hati ya Kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tukio...
Tume imesema Kwa mujibu wa Ratiba hiyo, mwisho wa kampeni za uchaguzi kwa Tanzania Bara ni tarehe 28 Oktoba, 2025 saa kumi na mbili kamili (12:00) jioni na kwa Tanzania Zanzibar itakuwa tarehe 27 Oktoba, 2025 saa kumi na mbili kamili (12:00) jioni ilI kupisha kura ya mapema. UCHAGUZI WA RAIS...