Wakuu
Ni muda kidogo sikuwasikia hawa jamaa wa CHAUMMA hadi nikawa najiuliza wameamua kula mafao baada ya kukifanya walichokifanya baada ya kuhamia huko, ila kumbe walikuwa likizo bhana.
John Mrema kupitia ukurasa wake wa X ameandika haya na kuahidi atarudi na mengine mengi zaidi ila cha...