Katika kipindi cha awamu ya tano na ya sita kuliibuka viongozi na machawa ambao kila maendeleo yaliyofanyika walikuwa wakisema kuwa kafanya Rais pasipo kumgusa mwananchi ambaye kodi yake ndio imetumika.
Yaani kila mradi utasikia mtu anasema Mh Rais ametoa bilioni kazaa kwa ajili ya mradi huu...