Mwanaume mmoja wa Kenya anatarajiwa kukabiliwa na kifungo gerezani nchini Marekani baada ya kukiri kuiba zaidi ya dola 400,000 (takribani shilingi milioni 52 za Kenya) za fedha za walipa kodi alipokuwa akifanya kazi kama mkaguzi wa hesabu wa serikali katika Jimbo la New York.
Tobias Otieno...