Habari za majukumu waungwana wa JF!
Sisi "The EXPERTS group" ni kikundi cha vijana wenye fani na taaluma mbalimbali tusio na ajira, tunakuja kwenu wakuu wa jukwaa hili kuomba maoni, kazi, connection ili tuweze kujikwamua kiuchumi kupitia taaluma na vipawa tulivyonavyo.
Shughuli zetu ni kama...