Salaam!
Inaendelea live,
https://www.youtube.com/live/n-kmeazATjw?si=X3ij2Vo-Q0MJF8hQ
Askofu Gwajima amesema kumekuwa na mlolongo wa matukio ya watu kutekwa pamoja na kupotea hivyo kutokana na hayo ameamua kuitisha mkutano huu na waandishi wa habari kuongelea kuhusu suala hili na kisha kutoa...