Takwimu za utabiri wa Shirika la Jiolojia la Marekani (USGS) zinaonesha idadi ya vifo huenda ikaongezeka na kufikia zaidi ya 10,000, huku hasara za Kiuchumi zikitarajiwa kuzidi pato la Taifa kwa Mwaka mzima
Shirika la Msalaba Mwekundu (Red Cross) limesema Myanmar inakabiliwa na kiwango cha...