Shirikisho la kimataifa la soka FIFA limetoa orodha mpya ya timu bora za soka mwaka huu wa 2026.
Morocco wamepanda kwa kiwango kikubwa zaidi katika timu za wanaume wakifika hadi nafasi ya nane,licha ya kupoteza katika fainali ya michuano ya soka barani Afrika AFCON dhidi ya Senegal.
Senegal...