Kipekee nipende kuwapongeza TANESCO upande wa huduma kwa wateja wako vizuri sana kuliko taasisi yoyote ile ya serikali (nadhani) wanapokea simu faster sana na kurespond. kama fire wangekuwa hivi tungefika mbali
Halafu kuna RITA sasa hao hata namba iliyo kwa website yao haipatikani .
Wanabodi
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa wateja wanaotumia mtandao wa simu wa YAS wanakumbana na changamoto ya kupiga simu kupitia namba ya huduma kwa wateja 180.
TANESCO imewashauri wateja hao kutumia mitandao mingine ikiwemo Vodacom, Airtel, Halotel na TTCL, au kutumia...