Kuna vitu vinashangaza sana kwenye hii nchi iliyoasisiwa na Hayati Nyerere, tunasema Kuna amani na upendo miongoni mwenu Lakin kiuhalisia Kuna watu ni wenye manung'uniko na maumivu makubwa moyoni.
Madaraka yamewafanya wenye madaraka kujiona miungu watu. wakazi wa mtaa wa Kidimu uliopo kata ya...