Wasalaam wakuu
Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza, Hivi ni kweli Wanawake huwa hamsamehi?
Yaani hata mkiombwa msamaha mtakubali tu lakini moyoni mnakuwa mmelihifadhi tu hilo tukio/kosa?
Sio kwenye makosa ya usaliti na wenzi wenu au Watu wenu wa karibu, ndugu, shoga zenu n.k
Ila...